Who Afrika yasema afya kwa wote nilazima ipatikane ifikapo mwaka 2030.
Akizungumza na UN News kandoni mwa mkutano huo Profesa Omaswa amesema kikubwa walichojikita nacho kikubwa , Bi Monica Ferro mkurugenzi wa shirika la Umoja wa Mataifa la idadi ya watu UNFPA katika ofisi ya Geneva Uswisi amesema amewakilisha shirika lake kwenye mkutando huo ili kujadili umuhimu wa kuwekeza katika afya ya mwanamke
Ni muhimu kuwekeza katika afya yao, ni muhimu kuwekeza katika upatikanaji wa uzazi wa mpango ili kuwapa fursa ya kupanga mwelekeo wa maisha ya baadaye katika kupata elimu ya kutosha ili kuwapa uwezo na ujasiri wa kuamua maisha yao ya baadaye na pia fursa ya ajira nzuri kama ilivyo kwenye mpango wetu wa kutomuacha mtu yeyote nyuma.
Mkutano huo ulioandaliwa na shirika la afya duniani WHO, uliokunja jamvi tarehe 20April mwaka huu na uliwaleta pamoja washiriki zaidi ya 100, mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa, asasi za kiraia na wataalamu kutoka Amerika, Ulaya, Asia , Amerika Kusini na Afrika ambayo imewakilishwa na takribani washiriki 100, ili kukuna vichwa na kutoka na mbinu za kuhakikisha lengo la afya kwa wote duniani linatimia. Taarifa hii ni kwa mjibu wa UN Radio.
0 comments:
Post a Comment