Chanjo ya kunusuru watoto dhidi ya kuhara yazinduliwa Uganda.
Chanjo
itakayo wakinga watoto wa chini ya umli wa miaka mitano na virusi
vinavyosababisha kuhara (rotavirus) imezinduliwa nchini Uganda kwa
ushirikiano wa serikali na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia
watoto UNICEF.
Mwakilishi wa UNICEF, nchini Uganda Dokta Doreen Mulenga, ameipongeza seriali ya Uganda kwa kujumisha chanjo ya rotavirus katika mpango wa chango wa kitaifa na kusema ni hatua muafaka katika juhudi za kutimiza lengo la afya bora kwa watoto wote, Taarifa hii nikwamjibu wa Radio ya Umoja wa Mataifa UN RADIO.
0 comments:
Post a Comment