Kipaji cha mwanao ni kwa ajili yake na jamii yake
Unaposaidia kuendeleza kipaji cha mwanao faida zake si kwake peke yake bali pia kwa jamii nzima. Huo ndio wito uliojitokeza katika warsha ya siku tatu iliyokutanisha wazazi, walimu na wanafunzi mkoani Pwani nchini Tanzania kwa lengo la kutambua, kuendeleza na kufaidi na vipaji vya watoto hususani yatima na wasiojiweza.
Watoto
yatima au wanaoishi katika mazingira ya umasikini nchini Tanzania mara
nyingi hukosa fursa za maendeleo kielimu hata kimaisha kwa sababu ya
kutokuwa na ujuzi wowote limesema shirika lisilo la kiserikali la
COMPASSION ambalo ni la kidini linalowasaidia watoto na vijana yatima
katika kusongesha mbele ajenda ya maendeleo endelevu SDG’s.
Shirika hilo linashirikiana na shule mbalimbali za mkoa wa Pwanni hasa zinazotoa elimu kwa watoto yatima na masikini wasiojiweza kupata ujuzi wa kuweza kujitegemea hapo baadaye.
Leo limekamilisha warsha ya siku tatu iliyokutanisha washiriki zaidi ya 300 , walimu na wanafunzi kujadili jinsi ya kutambua, kuendeleza na kufaidika na vipaji walivyonavyo lakini pia kuichagiza jamii kusaidia kuendeleza vipaji vya watoto wao kwa ajili ya mustakhbali wao. Mwanafunzi Rehema Egidi ni miongoni mwa washiriki
(REHEMA EGIDI)
Peter George ni mwalimu wa kazi za mikono
(SAUTI YA PETER GEORGE)
Baada ya siku tatu za warsh watoto wameambulia nini? Sarafina Alex ni mwanafunzi
(SAUTI YA SARAFINA ALEX)
Shirika hilo linashirikiana na shule mbalimbali za mkoa wa Pwanni hasa zinazotoa elimu kwa watoto yatima na masikini wasiojiweza kupata ujuzi wa kuweza kujitegemea hapo baadaye.
Leo limekamilisha warsha ya siku tatu iliyokutanisha washiriki zaidi ya 300 , walimu na wanafunzi kujadili jinsi ya kutambua, kuendeleza na kufaidika na vipaji walivyonavyo lakini pia kuichagiza jamii kusaidia kuendeleza vipaji vya watoto wao kwa ajili ya mustakhbali wao. Mwanafunzi Rehema Egidi ni miongoni mwa washiriki
(REHEMA EGIDI)
Peter George ni mwalimu wa kazi za mikono
(SAUTI YA PETER GEORGE)
Baada ya siku tatu za warsh watoto wameambulia nini? Sarafina Alex ni mwanafunzi
(SAUTI YA SARAFINA ALEX)
0 comments:
Post a Comment